NI ZAMU YA MBWANA SAMATA KUING'ARISHA TANZANIA ANGA ZA KIMATAIFA

@samagoals - Nachukua nafasi hii kwanza kumshukuru Mungu kwa kila lililotokea. Pia Baba yangu pamoja na familia kiujumla, ndugu, jamaa na marafiki. Pia kwa dhati kabisa nawashukuru Watanzania wenzangu bila kujali wadhifa, kwani dua zenu za pamoja na sapoti yenu kwangu ndio imeleta hii tuzo nyumbani Tanzania. Nawashukuru sana, sina cha kuwalipa. Kila mmoja wenu Mwenyezi Mungu amuongezee katika sehemu yake. Asanteni sana TANZANIA. Na leo ndo nalala hivyo, atakayeniamsha tutapigana Walahi tena, mniache mpaka niamke mwenyewe.


About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia