Ticker

6/recent/ticker-posts

HAYA NDIO BAADHI YA MATUKIO YALIYOTOKEA KATIKA TAMASHA LA KUOMBEA TAIFA LILILOFANYIKA MKOANI KILIMANJARO

  Waumini wa Dini ya kiislamu wakifanya dua  katika uwanja wa mashujaa katika maombi maalumu ya kuombea taifa na mkoa wa Kilimanjaro
 Mkuu wa Mkoa wa Killimanjaro Anna Mgwira akiwa katika uwanja wa mashujaa katika maombi maalumu ya kuombea taifa na mkoa wa kilimanjaro.

Kikundi cha Kaswida kikitumbuiza
 Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mgwira akiwa na viongozi wa dini mbalimbali na madhehebu mbalimbali katika maombi ya kuombea taifa yaliyofanyika ukumbi wa mashujaa
Kwaya ikitumbuiza

Post a Comment

0 Comments