HAYA NDIO YALIYOTOKEA KATIKA HUKUMU YA SABAYA NA WENZAKE . Woinde Shizza Tuesday, May 31, 2022 Add Comment Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imeahirisha kutoa hukumu ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya na wenzak... Read More
WAELIMISHENI NA KUWAHAMASISHA WANANCHI WAJITOKEZE KUSHIRIKI ZOEZI LA SENSA:MAJALIWA Woinde Shizza Tuesday, May 31, 2022 Add Comment Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Semina kuhusu Sensa ya Watu na Makazi kwa Wabunge iliyofanyika kwenye ukumbi ... Read More
ECLAT FOUNDATION LAKABIDHI MADARASA SANA KATIKA SHULE YA MSINGI NAKWENI Woinde Shizza Tuesday, May 31, 2022 Add Comment Na Mwandishi wetu, Simanjiro SHIRIKA lisilo la kiserikali la ECLAT Foundation limekabidhi madarasa saba yakiwemo matatu mapya na manne yal... Read More
TANESCO WAZINDUA MFUMO MPYA KWAAJILI YA KUTOA HUDUMA KWA WATEJA KIDIGITALI Woinde Shizza Tuesday, May 31, 2022 Add Comment Shirika la umeme Tanzania limezindua mfumo mpya wa NIKONEKT APP kwaajili ya kutoa huduma kwa wateja kwa njia ya kidijitali Akizungumza hiv... Read More
SHIBUDA ANG'OLEWA UONGOZI ADA-TADEA Woinde Shizza Tuesday, May 31, 2022 Add Comment Na Woinde Shizza,ARUSHA Imeelezwa kuwa kuonyesha mwanga ni dira ya demokrasia kwa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu ku... Read More
KIJAJI AWATAKA CAMARTEC KUTENGENEZA MASHINE ZIKAZO MUWEZESHA MKULIMA KUTATUA MATATIZO YA KILIMO Woinde Shizza Tuesday, May 31, 2022 Add Comment Na Woinde Shizza,ARUSHA Waziri wa uwekezaji ,viwandana biashara Dkt Ashatu Kijaji amekitaka kituo cha zana za kilimo na teknolojia vijiji... Read More
WANANCHI IRINGA WATAKIWA KUFANYA USAFI KILA SIKU ILI KUTUNZA MAZINGIRA Woinde Shizza Monday, May 30, 2022 Add Comment Meya wa Manispaa ya Iringa Ibrahim Ngwada akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa MACHINGA Iringa,shirika la Kijana Amka Sas... Read More
TEMDO YATAKIWA KUPELEKA KIWANDA CHA KUCHAKATA SUKARI KILOMBERO KABLA YA MWEZI DECEMBER Woinde Shizza Monday, May 30, 2022 Add Comment meneja wa karakana ya Taasisi ya uhandisi na usanifu mitambo Tanzania (TEMDO) Nicas Bernard akimuonyesha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uw... Read More
KAMATI YA UONGOZI NA WATAALAM JUU YA MGOGORO WA NGORONGORO IMESEMA INAAMINI SERIKALI ITATOA MATOKEO CHANYA Woinde Shizza Friday, May 27, 2022 Add Comment Picha na maktaba Na Woinde Shizza,ARUSHA Kamati ya viongozi na wataalamu juu ya mgogoro wa Ardhi ya Tarafa ya Ngorongoro, Sale na Loliondo... Read More
HOSEH APITA KWA KISHINDO KWA MARA NYINGINE UCHAGUZI WA URAIS TLS APITA KWA KURA ZAIDI YA 600 Woinde Shizza Friday, May 27, 2022 Add Comment Uchaguzi wa RAIS wa chama Cha Mawakili wa Tanganyika TLS umefanyika Leo ambapo Prof.Edward Hoseh ameibuka kidedea Kwa kupata kura 621 dhid... Read More
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA UVIKO 10 KWA VYAMA VYA UTALII Woinde Shizza Friday, May 27, 2022 Add Comment Katibu Mkuu wizara ya maliasili na utalii Dkt Francis Michael amegawa vifaa vya kujikinga na Uviko 19 ikiwemo barakoa 140,000 na vitakasa ... Read More
TAKUKURU ARUSHA WAWATAADHARISHA WANANCHI JUU YA UWEPO WA MATAPELI WANAOTUMIA JINA LA TAASISI HIYO Woinde Shizza Friday, May 27, 2022 Add Comment Taasisi ya kupambana na kuzuia Rushwa mkoa wa Arusha(TAKUKURU) imewatahadharisha wananchi juu ya uwepo wa matapeli wanaotumia jina la taasis... Read More
MAWAKILI VIJANA JIUNGENI KATIKA MAKUNDI KUANZISHA OFISI YA UMOJA BADALA KILA MOJA NA YA KWAKE Woinde Shizza Friday, May 27, 2022 Add Comment Mawakili na Wanasheria Vijana wametakiwa kujiunga katika makundi na kutumia fursa mbalimbali za kazi zao kwa kuanzisha ofisi Moja badala ya ... Read More
ANGALIA JINSI NYATI MWEUPE ALIVYOKUWA KIVUTIO NDANI YA HIFADHI YA TARANGIRE Woinde Shizza Friday, May 27, 2022 Add Comment Idadi ya watalii wanaotembelea hifadhi ya Taifa ya Tarangire imeongezeka kufuatia kuonekana kwa nyati wawili wenye rangi ya ajabu kati... Read More