Ticker

6/recent/ticker-posts

MSANII ALI KIBA NA JOKATE WAAMUA KUANIKA LIVE MAHUSIANO YAO

Mwanamitindo na mwanamuziki nchini Tanzania, Jokate Mwegelo
Jokate akiwa na mwanamuziki Ali Kiba
Mwanamuziki na mwanamitindo Jokate Mwegelo, na hitmaker wa ‘Chekecha’ Ali Kiba,  wameonesha kushindwa kuficha hisia zao baada ya kuonesha dhahiri kuwa ‘Mapenzi yana run dunia’ kwa kutupia picha ambazo mashabiki wao wametafsiri kuwa hakuna project kati yao bali ni wapenzi.
Leo asaubuhi kupitia wa kijamii Jokate, ameweka picha akiwa na mwanamuziki Kiba, katika pozi tofauti na kuandika “All The Best Cher” jambo ambalo mashabiki wameonesha kubariki penzi hilo jipya na kuwataka kutangaza rasmi kwani wanaendana.

Post a Comment

0 Comments