MAGUFULI NA LOWASA WACHUKUWA FOMU ZA KUGOMBEA KITI CHA URAIS CCM DODOMA HII LEO
![]() |
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, akiwa anatabasamu mara baada ya kuchukuwa fomu ya kugombea urais katika ofisi za ccm mkoani Dodoma hii leo |

![]() |
Waziri mstaafu Edward Lowasa akiwa anaongea na vyombo vya habari mara baada ya kuchukuwa fomu ya kugombea kiti cha urais |
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia