Ticker

6/recent/ticker-posts

TASWIRA YA TUKIO LA SHEREHE ZA KUMUAGA RAIS KIKWETE ZILIZOANDALIWA NA TASWA

October 12 ndio siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wapenda michezo wote Tanzania, kwani chama cha waandishi wa habari za michezo Tanzania TASWA ndio siku ambayo kilitangaza kuwa kitatoa tuzo kwa wanamichezo waliofanya vizuri katika kipindi cha miaka 10 sambamba na tuzo ya heshima kwa Rais Jakaya Kikwete kutokana na mchango wake katika kuinua michezo Tanzania. Hizi ni pichaz za mwanzo kutoka Mlimani City mahali ambapo zitatolewa tuzo hizo.
DSC_0002
Baadhi ya waalikwa wakiingia ukumbini
DSC_0005
Kocha wa Taifa Stars (kulia) akiongea na muandishi wa habari mkongwe Abdallah Majula
DSC_0007
Nahodha wa zamani wa Taifa Stars Shadrack Nsajigwa
DSC_0012
Mchambuzi wa soka Geff kutokea Azam Tv
DSC_0013
Mkurugenzi wa ufundi wa Azam FC Saad Kawemba wa kulia
DSC_0017
Rais wa zamani wa TFF Leodger Tenga akiwa na Rais wa sasa Jamal Malinzi
DSC_0021
Selestine Mweigwa na Tenga wakiteta jambo
DSC_0032
Waendesha shuhuri (MC) Maulid Kitemnge na Chacha Maginga
DSC_0030
Mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto
DSC_0026
Maulid Kitenge
DSC_0024
DSC_0039
Johnson Jabir na Twalib Omar
DSC_0044
DSC_0045
Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi Boniface Wambura
DSC_0046
Kutoka kushoto Meneja masoko wa TFF Peter Simon, Nadir Haroub Canavaro na Afisa habari wa TFF Baraka Kizuguto
DSC_0048
Kalunde Band wakitoa burudani
DSC_0002
DSC_0008
Bondia Francis Cheka
DSC_0011
Mtangazaji wa The Mboni Show Mboni Masimba alikuwa miongoni ya wageni waalikwa.

Post a Comment

0 Comments