October 12 ndio siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wapenda michezo wote Tanzania, kwani chama cha waandishi wa habari za michezo Tanzania TASWA
ndio siku ambayo kilitangaza kuwa kitatoa tuzo kwa wanamichezo
waliofanya vizuri katika kipindi cha miaka 10 sambamba na tuzo ya
heshima kwa Rais Jakaya Kikwete kutokana na mchango wake katika kuinua michezo Tanzania. Hizi ni pichaz za mwanzo kutoka Mlimani City mahali ambapo zitatolewa tuzo hizo.

Baadhi ya waalikwa wakiingia ukumbini

Kocha wa Taifa Stars (kulia) akiongea na muandishi wa habari mkongwe Abdallah Majula

Nahodha wa zamani wa Taifa Stars Shadrack Nsajigwa

Mchambuzi wa soka Geff kutokea Azam Tv

Mkurugenzi wa ufundi wa Azam FC Saad Kawemba wa kulia

Rais wa zamani wa TFF Leodger Tenga akiwa na Rais wa sasa Jamal Malinzi

Selestine Mweigwa na Tenga wakiteta jambo

Waendesha shuhuri (MC) Maulid Kitemnge na Chacha Maginga

Mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto

Maulid Kitenge

Johnson Jabir na Twalib Omar

Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi Boniface Wambura

Kutoka kushoto Meneja masoko wa TFF Peter Simon, Nadir Haroub Canavaro na Afisa habari wa TFF Baraka Kizuguto

Kalunde Band wakitoa burudani

Bondia Francis Cheka

Mtangazaji wa The Mboni Show Mboni Masimba alikuwa miongoni ya wageni waalikwa.