VIJANA WAIOMBA SERIKALI KUENDELEA NA MCHAKATO WA KATIBA MPYA
Mwenyekiti
wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba akitoa elimu kuhusu
mchakato wa mabadiliko ya Katiba pamoja na historia ya mchakato huo kwa
vijana wa wilaya zote za jiji la Dar Es Salaam.
Mbunge
wa Viti Maalumu, (CUF), Riziki Lulida akizungumzia changamoto
wanazozipata kama wabunge wenye ulemavi katika katiba pamoja na kutoa
maoni kuhusu uundwaji wa katiba mpya
Mbunge
wa Viti maalum Pemba-Zanzibar, Mheshimiwa Zainabu Mussa Bakari
akizungumzia Haki na Wajibu wa mwananchi Kikatiba wakati wa ufunguzi wa
Kongamano lililowashirikisha vijana mbalimbali kutoka wilaya tano za
jiji la Dar es Salaam ili kujadili katiba mpya lililoandaliwa na Taasisi
ya Vijana ya TYVA pamoja na IRI.
Baadhi ya vijana wakichangia mada
Baadhi
ya Vijana wa wilaya ya mbalimbali za jijini Dar es Salaam wakiwa kwenye
mafunzo kuhusu mchakato wa mabadiliko ya Katiba yaliyofanyika leo ambao
wameazimia kuendelea kwa mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia