Ticker

6/recent/ticker-posts

KAIMU KATIBU MKUU UVCCM TAIFA SHAKA AFANYA ZIARA WILAYANI NGARA MKOA WA KAGERA NA KUZINDUA MIRADI MBALIMBALI YA UMOJA HUO

  Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC)akizungumza na
Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM Wilayani
Ngara Katika  Kikao Cha Ndani Kilicho Fanyika katika Ukumbi wa Engubenako
Wilayani Ngara.
 Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akiwasili katika
Kijiji Cha BENACO Wilayani Ngara, Shaka yupo  kwa ziara ya kuimarisha uhai
wa chama, kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya
CCM 2015_2020
 Mwenyekiti wa uvccm Mkoa wa Kagera Bw. Yahya Kateme akizungumza
kumkaribisha Ndg: Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka
Kuzungumza na Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet
ya CCM Wilayani Ngara
 Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC)akizungumza na
Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM Wilayani
Ngara Katika  Kikao Cha Ndani Kilicho Fanyika katika Ukumbi wa Engubenako
Wilayani Ngara
 :Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akizindua Mradi wa
kikundi cha Vijana wajasiliamali cha Ufugaji wa Nyuki na Shamba la Upandaji
wa Miti katika kijiji cha Nyaruku Wilayani Ngara.
 Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akikagua Mradi
wa Usambazaji wa Umeme Vijijini katika kijiji cha Nyankenda ikiwa ni
Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015_2020
 Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akikagua
Ukamilishaji wa Agizo la  Utengenezaji wa Madawati  katika Shule ya Msingi
Rulenge Jinsi lilivyo Kamilika kama alivyotoa agizo Mhe:Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
 Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akimkabidhi
mmoja kati ya Wazee 25 waliopokea Vyeti Vya Matibabu ya bure kwa wazee
katika kijiji cha kijiji cha Mumiramila Wilayani Ngara.
 Mwandishi wa Gazeti la Uhuru Bw.Antari Sangali pamoja na wazee wakijiji
cha Mumilamila Wilayani Ngara wakimsikiliza kwa makini Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC)alipo kua akigawa Vyeti kwaajili ya
Matibabu ya Bure kwa wazee.
:Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) alipo zindua
Mradi wa Shamba la Uvccm wilayani Ngara kwa ajili ya Shughuli Mbali mbali
za kilimo kwa Vijana Wilayani humo ikiwa ni Utekelezaji wa agizo lake
alilotoa kwa Makatibu wote kuandaa miradi Mbali mbali ili kukwamua Vijana
kiuchumi kama kauli Mbiu yake isemayo'' SIASA NA UCHUMI''(picha na woinde Shizza.

Post a Comment

0 Comments