Ticker

6/recent/ticker-posts

MKUU WA MKOA WA ARUSHA AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI


gambo-1
Mkuu wa mkoa wa Arusha  Mrisho Gambo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari  kuhusu mwandishi wa kituo cha ITV Halfani Liundi aliyekamatwa hivi karibuni na jeshi la polisi, ambapo pamoja na mambo mengine  alisema kuwa anatambua umuhimu wa vyombo vya habari na hivyo mwandishi anauhuru wa kwenda popote kupata taarifa yeyote kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari
gambo-2
Mwandishi wa habari wa kituo cha channel Ten Aristrides Dotto akichangia katika mkutano huo wa waandishi wa habari na mkuu wa Mkoa juzi ofisinii kwake jijini Arusha
gambo-3
Baadhi ya waandishi wa habari wakifatilia mkutano huo
gambo-4
Mwandishi wa gazeti la Mwananchi Mosses Mashalla akichangia katika mkutano huo wa mkuu wa Mkoa na waandishi wa habari mkoa wa Arusha

Post a Comment

0 Comments