Ticker

6/recent/ticker-posts

MAFUNZO YA BLOGGERS TANZANIA YA NAMNA BORA YA UENDESHAJI WA MITANDAO YA KIJAMII YAANZA LEO JIJINI DAR




Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, Dk. Hassan Abbas(wa pili kulia) akizungumza wakati wa kufungua mkutano mkuu wa Tanzania Bloggers Network(TBN) uliofanyika katika ukumbi wa PSPF jijini Dar.
Mwenyekiti wa muda wa mitandao ya Kijamii Tanzania Bloggers Network (TBN), Joachim Mushi(aliyesimama)  akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Tanzania Bloggers Network(TBN) uliofanyika katika ukumbi wa PSPF jijini Dar leo

Baadhi ya Bloggers wakiwa kwenye mkutano wao 


Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, Dk. Hassan Abba  akijibu maswali yaliyokuwa yakiulizwa na baadhi ya bloggers.

Post a Comment

0 Comments