Ticker

6/recent/ticker-posts

TANZANIA YETU ,MALIASILI ZETU ,HIFADHI ZETU MSIMU WA SIKUU NDIO HUU WATANZANIA TUTEMBELEE HIFADHI ZETU


Tanzania yetu maliasili zetu Hakuna jambo zuri kama kusherekea Sikukuu ukiwa kwenye mandhari  tulivu ambayo itakufanya ussosike na chakula kizuri  huku ukifanya vitu vipya au kuona vitu tofauti ambavyo huvioni mara kwa mara katika mzunguko wako wa maisha.

Msimu wa Sikukuu ndiyo huu!!! Fanya sikukuu yako kuwa ya kipekee kwa kutembelea HIFADHI ZA TAIFA. Tuendelee kusapoti Utalii wa Ndani kwa kutembelea #HifadhiZetu. More info piga 0784133217| 0765908073. 

HapaKaziTU

Post a Comment

0 Comments