KESI INAYOMKABILI MBUNGE WA JIMBO LA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA NA MKE WAKE YA KUMTUMIA UJUMBE WA KUMTUKANA MKUU WA MKOA WA ARUSHA KUSIKILIZWA TENA FEBRUARY TATU MWAKA HUU
Wakili
wa upande wa mashtaka Alice Mtenga amewataja mashahidi watano
wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ambao watatoa
ushahidi katika kesi hii
Hata
hivyo mawakili upande wa utetezi wakiongozwa na John Malya umetoa
notisi ya pingamizi la awali la mdomo kuwa hati ya mashitaka ina
mapungufu kwa hiyo baadae wataiomba mahakama itupilie mbali hati hiyo.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia