|
Amir
Mongi akimvisha pete mewe Munirah Bawaziri siku ya ndoa yao ,katika
sherehe iliyofayika kwenye ukumbi wa Mamba Complex Marangu Kilimanjaro
januari
2017
|
Katibu
wa Arusha Press Club Amir Mongi akivishwa pete na mkewe Munirah
Bawaziri katika sherehe ya ndoa yao ,iliyofanyika katika ukumbi nwa
Mamba Complex Marangu Mkoani Kilimanjaro. |
|
|
Amiri Mongi akimkumbatia mkewe Munirah Bawazir |
Maharusi wakiwa wanapata chakula pamoja na waandishi wa habari
kuroka Jiji la Arusha..
Sherehe inaendelea.
Baadhi
ya waandishi wa habari kutoka Jijini Arusha wakiwa wamesimama na mmoja
wao aliyevaa gauni la njano Pamella Mollel akiwa anazungumza kwa niaba
yao
Wakilisakata rumba katika
sherehe hiyo pamoja na maharusi
|
MC Kiko akiwa anateta jambo na mmoja wa wazee wa
upande wa bwana harusi katika sherehe hiyo,ambapo naye alikuwa msema
chochote siku hiyo. |
Pongezi mbalimbali zikiendelea kutoka
kwa ndugu jamaa na marafiki.
|
|
|
|
|
|
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia