Ticker

6/recent/ticker-posts

WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASSA ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI YA MWAKA MPYA KATIKA KANISA LA KKKT DAYOSISI YA MONDULI ARUSHA

Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa KamatiKuu ya CHADEMA Taifa Mh Edward Lowassa akizungumza na waumini wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Monduli Arusha  katika misa maalamu ya mwaka mpya 2017 ambapo amewataka watanzania wote bila kujali itikadi zao  kufanya kazi kwa bidii.

Mh Lowassa ameshiriki ibada hiyo akiambatana na familia yake pamoja na baadhi ya viongozi wa chama na Serikali Mkoani Arusha na Jimbo la Monduli  wakiwemo Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mh Kalisti Lazaro,  Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli Mh  Isack Joseph , Wakili John Mallya  na viongozi wengine. 

Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa Mh Edward Lowassa, mama Regina Lowassa akisalimiana na  mchungaji wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Monduli Arusha  Laison Saning'o katika Ibada  maalamu ya mwaka mpya 2017.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa Mh Edward Lowassa akisalimiana na  mchungaji wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Monduli Arusha  Laison Saning'o katika  Ibada  maalamu ya mwaka mpya 2017.

Wakili John Mallya (aliyeshika biblia) akisoma neno kwenye biblia katika Ibada ya mwaka mpya katika  Kanisa la KKKT Dayosisi ya Monduli Arusha.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa Mh Edward Lowassa akizungumza na waumini wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Monduli Arusha  katika misa maalamu ya mwaka mpya 2017 

Mtoto mkubwa wa Mh Lowassa, Fred Lowassa (mwenye shati jeupe) akiwa na waumini wengine katika Ibada ya mwaka mpya katika  Kanisa la KKKT Dayosisi ya Monduli Arusha

Mtoto mkubwa wa Mh Lowassa, Fred Lowassa (mwenye shati jeupe) akiwa na waumini wengine katika Ibada ya mwaka mpya katika  Kanisa la KKKT Dayosisi ya Monduli Arusha





Post a Comment

0 Comments