Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) wakisikiliza maelezo ya jinsi ‘Flow meter’ inavyofanya kazi kutoka kwa opareta wa kipimo hicho, Ndg. Benjamini Kisaki, wajumbe hao wametembelea na kukagua utekelezaji wa mradi wa maboresho ya Bandari ya Tanga.
Mkurugenzi
wa Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Eric Hamis akiwaeleza
wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC)
maboresho mbalimbali yanayofanyika wa katika Bandari ya Tanga wakati
wajumbe hao walipotembelea na kukagua mradi huo.
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia