BREAKING NEWS

Tuesday, March 8, 2022

WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGIA DAMU ILI KUSAIDIA WENYE UHITAJI

 

Watatu kushoto  afisa ushirika mkoa wa Arusha mkubwa Musa  akimkabidhi baadhi ya zawadi zilizotolewa na wanawake wa chama Cha Arusha women business saccos LTD   ,daktari kutoka kitengo cha magonjwa ya Kansa katika hospital ya rufaa ya Kanda ya kaskazini (KCMC) Dr.Atukuzwe Kahakwa kwaajili ya wagonjwa wenye ugonjwa wa saratani mbalimbali waliopo katika hospital ya rufaa ya Kanda ya kaskazini (KCMC)ambapo mbali na kukabidhi vifaa hivyo waliwachangia pia damu zaoezi lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hotel ya Coridr spring iliopo ndani ya halmashauri ya Jiji la Arusha (Woinde Shizza)

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates