Mbunge
wa Mbozi Mashariki,David Silinde(shoto) ,Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa
Arusha Amani Golugwa na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless wakiwa nje ya
ukumbi mara baada ya kumalizika kwa shughuli ya uchaguzi wa Naibu Meya
uliofanyika leo,Diwani wa Kata ya Daraja mbili ,Prosper Msofe aliibuka
mshindi
Naibu
Meya wa Arusha Prosper Msofe ambaye ni Diwani wa kata ya Daraja mbili
kwa tiketi ya CHADEMA akizungumza baada ya kuibuka mshindi katika
uchaguzi uliofanyika leo katika ukumbi wa Halmashauri ya Arusha,Meya wa
jiji la Arusha Gaudience Lyimo (katikati) ,kulia ni Mkurugenzi Mtendaji
wa jiji Juma Iddi .
Naibu
Meya wa jiji la Arusha ,Prosper Msofe ambaye ni Diwani wa kata ya
Daraja mbili akizungumza baada ya kuibuka mshindi katika uchaguzi wa
Naibu Meya uliofanyika jana katika ukumbi wa Halmashauri ya Arusha
.Picha na Ferdinand Shayo
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
RELATED POSTS
0
Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia