JULIO,AMRI SAID WAMPIGA MKWARA MWAMUZI LIGI DARALA LA KWANZA
| Sehemu ya mashabiki waliojitokeza kwenye dimba la Ushirika, wakifuatilia mchezo kati ya Mwadui na Panone. |
| Mashabiki wa Panone wakishangilia goli la kusawazisha lililopatikana katika dakika ya 16 ya kipindi cha kwanza, likifungwa na Tony Kigundu. |
| Shangwe zikaendelea |
| Ubabe ukatumika... |
| Hapa akimrudisha Kocha wa Mwadui FC, Jamhuri Kiwelo 'Julio' katika eneo lake. |
| Benchi la Ufundi la Mwadui FC, wa kwanza kushoto ni kocha mkuu Jamhuri Kiwelo 'Julio', kulia. |
| Julio akitoa maelekezo kwa mchezaji wake |
| Mwokota mipira akiwa katika pozi. |
| Sehemu ya Jukwaa kuu likiwa limesheheni mashabiki |
| Wachezaji wakitoka mapumziko |
| Mmoja wa viongozi wa Benchi la Ufundi la Mwadui FC, aliamua kuwavaa maaskari wa Jeshi la Polisi. |
| Balaa la Jamhuri Kiwelo kama kawaida likaendelea.. |
| Waamuzi wakiondolewa uwanjani kwa Ulinzi mkali muda wa Mapumziko. |
| Kocha wa Panone FC, Maka Marwisi, akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mapumziko. |
| Jamhuri Kiwelo akitoa maelekezo kwa wachezaji wake. |
| Heka heka za kuwania mpira ukiendelea katika mchezo huo mkali. |
| Mchezaji wa Panone FC, akikimbilia mpira |
| Wachezaji wa Panone FC, wakitoa huduma kwa mchezaji wao aliyeumia. |
| Hapa wakiwa wamembeba....hili ni tukio la kushangaza na la aibu kweli.. |
| Benchi la ufundi la Panone FC, walipochukua jukumu ya timu ya usalama ya msalaba mwekundu. |
| Panone FC, wakifanya mabadiliko |
| Mwadui FC wakifanya mabadiliko. |
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia