Ticker

6/recent/ticker-posts

MBUNGE MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO.


Marehemu ,Mwalimu Francis.W,Mbatia,Baba mzazi wa Mbunge wa Kuteuliwa James Mbatia.
Marehemu ,Philomena Francis Mbatia,Mama mzazi wa Mbunge wa Kuteuliwa James Mbatia.
Makaburi ya wazazi wa Mbunge wa kuteuliwa James Mbatia yaliyoko nyumbani kwao kata ya Vunjo Mangaribi-Kilua Vunjo wilaya ya Moshi vijijini.
Mh James Mbatia akiwa na viongozi wa Chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Kilimanjaro wakati alipotembelea eneo hilo.
Mh James Mbatia akifanya sala mbele ya Makaburi ya Wazazi wake alipotembelea nyumbani kwao.
Mh James Mbatia akiwasilimulia viongozi alioambata nao mambo mbalimbali ambayo wazazi wake walipenda kumwelekeza yakiwemo maneno ambaye baadae aliamua yaandikwe juu ya makaburi hayo.
Mh Mbatia akiondoka katika eneo la Makaburi ya wazazi wake.

Post a Comment

0 Comments