MSANII WA A -TOWN AAGA MAISHA YA UKAPERA



Msanii wa Hip Hop kutoka kundi la WATENGWA ambalo maskani yao iko Arusha JCB, juzi aliuaga ukapela na kufunga ndoa na Diana Jorgensen pande za Arusha. 

Diana akidondosha wino kwenye kitabu cha ndoa 

Mtu mzima nae akidondosha wino 

Ndugu jamaa na marafiki waliofika kushuhudia tukio hilo la kipekee
Picha zote kwa hisani ya DJ CHOKA BLOG

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia