JOSE MOURINHO AKUBALI KIWANGO CHA MAN UNITED, AKATAA KUZUNGUMZIA TUKIO!! ANENA TIMU BORA NDIYO ILIYOPOTEZA - ADAI KUWA HIYO NDIYO SOKA!
Rio Ferdinand akionana uso kwa uso na Refa baada ya mechi kuisha jana usiku old trafford.
Patrice Evra (Kulia) na Ashley Young (katikati)wakiondoka uwanjani kwa jaziba kubwa baada ya refa kuwaangusha kwa kadi nyekundu aliyompa Nani.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia