Ticker

6/recent/ticker-posts

TANZANIA TUNAHAKI YA KUJIVUNIA WANYAWA WETU HII NI HIFADHI YA MIKUMI NA WANYAMA HAWA NDIO WANAPATIKANA NDANI YA HIFADHI HII

 Pundamilia wakionekana kwa uchache 

 Ndege Pori 
 Tembo ndio wameadimika kabisa hawaonekani 
 Swala ambao walikuwa wanaonekana kwa wingi sana, sasa wamekuwa hadimu kabisa wanaonekana kwa makundi machache machache sana 
Nyati nao wanaonekana kwa mmoja mmoja sana ..

Post a Comment

0 Comments