WAPENZI
wa muziki usiku wa kuamkia leo waliburudika kwa mapigo ya bendi ya
taarab ya Jahazi katika onyesho la nguvu la kwanza kwa mwaka 2014 ndani
ya uwanja wa Taifa wa Burudani Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini
Dar.
Mzee Yusuf akiwadatisha mashabiki waliofurika Dar Live.
Mzee Yusuf na wanenguaji wake kazini.
Umati wa mashabiki ukiserebuka.
Leila Mohamed akiwa kazini.
Shabiki akiserebuka.
Chidi Boy akikunguta kinanda.
Pozi la kinadada ndani ya Dar Live.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia