Ticker

6/recent/ticker-posts

MWISHO KWA MWAKA 2013 NA SKYLIGHT BAND NDANI YA KIOTA CHA THAI VILLAGE

DSC_0008
Waimbaji wa Skylight Band kutoka kushoto Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi wakitoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa ya mwisho kwa mwaka 2013 kabla ya kuelekea Mwanza kwa ajili ya show ya mkesha wa Mwaka mpya ndani ya The Rock City Cruise Party na tarehe 1 January 2014 kwenye VIP Part ndani ya hoteli Gold Crest jijini Mwanza.
DSC_0018
Aneth Kushaba AK 47 na Digna Mbepera wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0070
Nyomi ya mashabiki wa Skylight Band wakisebeneka na Skylight Band.
DSC_0029
Kipaji kipya cha Skylight Band Donode (katikati) sambamba na Winnie pamoja na Digna Mbepera wakitoa burudani.
DSC_0118
Burudani mwanzo mwisho.....Mheshimiwa Bundala akisebeneka.
DSC_0046
Mary Lucos akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye show yao ya Ijumaa kwa mwaka 2013 ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar.
DSC_0050
Mkurugenzi wa Kampuni ya Real Unique Tanzania, Bw. Albert Mkaoye, akiwatambulisha Models wa kampuni yake walioshiriki kwenye Party ya kufunga mwaka ulioenda sambamba na Usiku wa Traditional Fashion Show pamoja na burudani ya Skylight Band.
DSC_0068
Rappa wa Skylight Band Sony Masamba sambamba na Models wa Real Unique Tanzania wakiwapa raha mashabiki wa band hiyo.
DSC_0100
Models wa Real Unique wakichizika na Staili ya "Yachuma chuma" na Skylight Band.
DSC_0075
Mdau Alosi Ngonyani akichukua matukio kwenye simu yake....!! ni balaa haina mfano.
DSC_0107
Mashabiki wakisebeneka kwa raha zao na Skylight Band.
DSC_0142
Mduara ulihusika pia...
DSC_0164
Wadada wakizungusha nyonga zao...!!!
DSC_0135
Kutoka kushoto ni Digna Mbepera, Winnie pamoja na bishosti wake wakipata Ukodak backstage.
DSC_0177
Mashabiki wa Skylight Band na Ukodak.
DSC_0179
Zainul Photo katika Ukodak na wadau.
DSC_0187
Warembo wa ukweli ndani ya Skylight Band.
DSC_0244
Wadau wakishow love na Ukodak.
DSC_0248
Skylight Band for life...ndio msemo wa mabinti hawa na Ukodak.

Post a Comment

0 Comments