KAMPENI ZA LISHE BORA ZIFANYIKA VIJIJINI

Mkuu wa Wilaya Babati Khalid Mandia kulia,akiwa na wataalamu wa lishe toka USAID Tuboreshe chakula,wakichanganya virutubishi kwenye uji wa mtoto uliotayarishwa tayari kwa watoto wadogo kunywa.Umasishaji wa lishe bora umefanyika leo wilaya ya babati vijijini.

Mkuu wa Wilaya ya Babati  Khalid Mandia,akimkabidhi mama mwenye mtoto chini ya miaka mitano,unga ulioongezwa virutubishi,katika  uhamasishaji wa matumizi ya virutubishi unaoendeshwa na mradi wa USAID Tuboreshe chakula Babati vijini leo.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia