MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)YAWAPA SEMINA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA


DSCF2725Mkurugenzi wa huduma na elimu(TRA)Richard M.Kayombo akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari Mkoa wa Arusha, semina iliyolenga kuwapa elimu juu ya matumizi sahihi ya mashine za EFD
DSCF2730Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali Mkoa wa Arusha wakifatilia semina kwa ukaribu,semina iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania
DSCF2726
DSCF2737Afisa elimu kodi mwandamizi TRA Hamis Lubenja akitoa mada mbele ya wanahabari kuhusiana na matumizi ya mashine za kieletroniki katika ulipaji wa kodi huku akisisitizia kudai risiti baada ya manunuzi
DSCF2732Wanahabari wakiwa wananukuu pointi za muhimu katika semina hiyo

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia