HII NI AIBU KUBWA KWA VIONGOZI WA JIJI LA ARUSHA KUKAA OFISINI WAKATI MIUNDO MBINU NI MIBOVU KAMA HIVI TAKATAKA ZIMEKAA BARABARANI HIVI MITARO IMEZIBA ADI MAJI YANAPITA JUU

 hii ndo hali halisi ya jiji la Arusha mvua inapo nyesha hapa ni katika ya jiji maeneo ya standi ya mabasi makubwa
 mwananchi akiwa anatafuta namna ya kuruka ili aingie dukani kwake
 yaani niabu kwa jiji la Arusha uchafu wa namna hii viongozi mpo wapi  mpaka mtu anatupa uchafu tena katika kati ya standi kubwa

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia