RAIS KIKWETE AUNGANA NA JUMUIYA YA CHUO KIKUU KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA BALOZI KAZAURA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini katika kitabu cha maombolezo wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Nkhurumah Chuo Kikuu katika shughuli za mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Marehemu Balozi Fulgence Kazaura Chuoni hapo jana February 27, 2014. 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini katika kitabu cha maombolezo wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Nkhurumah Chuo Kikuu katika shughuli za mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Marehemu Balozi Fulgence Kazaura Chuoni hapo jana February 27, 2014.  Nyuma yake ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es salaam Profesa Rwekaza Mukandara.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na waombolezaji wengine  kwenye hafla rasmi ya mazishi ya Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Marehemu Balozi Fulgence Kazaura katika ukumbi wa Nkrumah Chuoni hapo jana February 27, 2014.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu wake, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakiwa na waombolezaji wengine  kwenye hafla rasmi ya mazishi ya Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Marehemu Balozi Fulgence Kazaura katika ukumbi wa Nkrumah Chuoni hapo jana February 27, 2014.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima zake za mwisho  kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Marehemu Balozi Fulgence Kazaura katika ukumbi wa Nkrumah Chuoni hapo jana February 27, 2014.
Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima zake za mwisho  kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Marehemu Balozi Fulgence Kazaura katika ukumbi wa Nkhurumah Chuoni hapo jana February 27, 2014.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifariji familia ya marehemu  kwenye hafla rasmi ya mazishi ya Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Marehemu Balozi Fulgence Kazaura katika ukumbi wa Nkrumah Chuoni hapo jana February 27, 2014. 
Makamu wa Rais Dkt. Bilal, akitoka ukumbini humo baada ya kutoa heshimza zake za mwisho.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia