MKUU WA WILAYA YA SIHA WAANGALIE WANANCHI WAKO WANAVYOTESEKA KATIKA KIPINDI MVUA INANYESHA ,NI AIBU KWA MUONEKANA WA SOKO LA SANYA JUU


Hii ni njia ya kuelekea soko hili ikiwa imejaa matope kutokana na kuwa katika kiwango cha changarawe.
Baadhi ya wachuuzi wakiwa sokoni hapo kununua mahitaji yao lakini mazingira ya soko hayaridhishi kutokana na uchafu uliokithiri hapo na kuhatarisha afya za walaji wa bidhaa.
hali halisi inavyonekana sokoni hapo baada ya mvua kunyesha.
Msimu huu wa mvua unasababisha kero hii kwa baadhi ya wateja hata wafanyabiashara sokoni .
hali hii pia ni kero kwa watembea kwa miguuu  sokoni hapo.
Picha zote na mdau Msafiri wa Mwanaharakati Mzalendo 

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia