BREKING NEWSSS HOTELI YA FORODHANI YAWAKA MOTO

 

Kwa mujibu wa redioni one; Mwandishi mwandamizi Faruq Karim ameripoti kuwa imetokea milipuko miwili shemu tofauti tofauti zanzibar, wa kwanza hoteli ya Forodhani kisha muda mfupi tena kwenye lango la kanisa la Anglikani mkunazini.

Taharifa Kamili Kukujia hivi punde.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia