NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA MKUTANO WA SIKU SITA WA MAKAMANDA WA JESHI LA POLISI NCHINI WAFANYIKA MJINI MOSHI MKOANI KILIMANJARO
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Robert Boaz pamoja na Makamanda wengine wa Jeshi hilo, wakimsikiliza Naibu waziri wa mambo ya ndani, Pereira Sirima (hayupo pichani |
Kutoka kulia ni IGP Ernest Mangu, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Sirima, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama na Kaimu IGP, Abdulrahman Kaniki |
Bendi ya MPA, inayoongozwa na Mwanamuziki, Dogo Vena, ikitumbuiza katika Mkutano huo ulioanza |
0 Post a Comment:
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia