USAID WAANZA KAMPENI MKOANI MANYARA ZA UAMASISHAJI VIRUTUBISHI KWENYE CHAKULA

 Mwelimishaji  wa masuala ya lishe kutoka mradi wa USAID Tuboreshe Sara Luzangi, akiongea na wanafunzi wa shule za msingi wilayani Babati mkoani Manyara, juu ya umuhimu wa matumizi ya vyakula vilivyowekwa virutubishi katika kampeni za kutoa elimu hiyo zinazoendelea katika wilaya mbalimbali za hapa nchini
Mwelimishaji  wa masuala ya lishe kutoka mradi wa USAID Tuboreshe Sara Luzangi, akiongea na wanafunzi wa shule za msingi wilayani Babati mkoani Manyara hawaonekani pichani, juu ya umuhimu wa matumizi ya vyakula vilivyowekwa virutubishi katika kampeni za kutoa elimu hiyo zinazoendelea katika wilaya mbalimbali za hapa nchini

Wanafunzi wakigawiwa vipeperushi vyenye maelezo ya virutubishi kutoka kwa waendesha kampeni wa mradi wa Usaid Tuboreshe Chakula katika kampeni inayoendelea wilayani Manyara iliyozinduliwa jana wilayani humo

 Waendesha kampeni wakitoa elimu ya wanafunzi wa njia ya kutoa burudani katika kampeni zinazoendelea mkoani Manyara

Afisa utawala wa Wilaya ya Babati, Bwana Mshamu akiongea na wadau kutoka sekta mbalimbali wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuongeza virutubishi kwenye chakula inayoendeshwa na mradi wa USAID Tuboreshe Chakula .Kampeni hizo zinaendela wilayani humo leo

Post a Comment

0 Comments