HATIMAYE KANUMBA AZIKWA LEO MAKABURI YA KINDONDONI MAMIA WAFURIKA




 Mwili wa marehemu kanumba ukiwa unaingizwa katika uwanja wa Leaders klabu hivi leo asubui



Mamia walifurika kumuaga ndungu yetu steven Charles Kanumba
Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba akiwa anaelekea kwenye gari kwa ajili ya kuusindikiza mwili wa mtoto wake kaburini

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post