SIMBA YAILIZA MORO UNITED

hichi ndicho kikosi cha simba SC
 
JIONI hii Simba SC imeifunga Moro United mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, na sasa inahita pointi moja tu katika mechi zake tatu zilizobaki ili kutawazwa rasmi kuwa mabingwa.

Simba wanawavua ubingwa wapinzani wao wa jadi, Yanga SC ambao msimu huu ‘wamefulia’ kiasi cha kukosa hata nafasi ya pili, ambayo ingewawezesha kucheza michuano yua Afrika mwakani.
 
Hata hivyo mabigwa watetezi wa ligi kuu Yanga SC wanatarajia kuingia dimbani kuvaana na timu ya maafande wa JKT Oljoro jumatano hii katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia