WATANZANIA WANG'ARA MBIO ZA NGORONGORO MARATHONI 2015
| Mbio zikianza rasmi. |
| Hatimaye wakapatikana wakimbiaji watatu wakaongoza hadi mwisho wa mbio na hawa ni ,Joseph Theofily(katikati),George Gerald (kulia) na Emanuel Giniki. |
| Mshindi wa kwanza katika Mbio za Ngorongoro Maratahoni 2015 ,Joseph Theofily akimaliza mbio hizo katika uwanja wa Mazingira Bora akitumia muda wa 1:03:09. |
| Mshindi wa kwanza kwa kina dada Failuna Abdi akihitimisha mbio katika nafasi ya kwanza baada ya kutumia muda wa 1 :10:25 |
| Mgeni rasmi katika mbio hizo ,Waziri mkuu Mstaafu ,Fredirck Sumaye akiingia uwanjani huku akihitimisha mbio za km 21 . |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures,Zainab Ansel akizungumza na wanahabari katika tamasha hilo. |
| Meza kuu wakifuatilia mambo mablimbali yanavyoenda uwanjani hapo. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures,Zainab Ansel akizungumza wakati wa kuhitimisha tamasha la nane la mbio za kimataifa za Ngorongoro Marathoni zilizofanyika Karatu mkoani Arusha. |
| Baaadhi ya wananchi waliojitokeza katika tamasha hilo. |
| Rais wa shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka akizungumza katika tamasha hilo. |
| Waziri mkuu Mstaafu ,Frerick Sumaye akitoa hotuba yake wakati wa tamasha la nane la mbio za kimataifa za Ngorongoro Marathoni zilizofanyika mwishoni mwa wiki Karatu mkoani Arusha. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures,Zainab Ansel akitoa zawadi kwa washindi wa mbio za Km 5 upande wa wasichana. |
| Waziri mkuu mstaafu ,Fredrick Sumaye akizungumza na mshindi wa kwanza mbio za Km 5 kwa upande wa wasichana aliyemaliza mbio bila ya kuwa na kiatu,Sumaye alimpatia zawadi ya fedha kwa ajili ya kununua kiatu. |
| Umati wa wananchi ukifuatilia matukio mbalimbali katika mbio hizo. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures ambao ndio waandaaji wakuu wa mbio hizo,Zainab Ansel akikabidhi zawadi kwa mwakilishi wa Bonite Bottlers ambao pia walikuwa wadhamini wa mbio hizo. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures ambao ndio waandaaji wakuu wa mbio hizo,Zainab Ansel akikabidhi zawadi kwa mwakilishi wa Exim Bank ambao pia walikuwa wadhamini wa mbio hizo. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures ambao ndio waandaaji wakuu wa mbio hizo,Zainab Ansel akikabidhi zawadi kwa mwakilishi wa Marenga Investment ambao pia walikuwa wadhamini wa mbio hizo. |
| Waziri mkuu mstaafu ,Fredrick Sumaye akikabidhi zawadi kwa mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures kama mwandaji mkuu wa mbio hizo. |
| Washindi wa mbio hizo kwa upande wa wanawake, |
| Waziri mkuu mstaafu ,Fredrick Sumaye akimvisha medali mshindi wa kwanza katika mbio hizo,Failuna Abdi. |
| Waziri mkuu Mstaafu akiwa katika picha ya pamoja na washindi. |
| Waziri mkuu mstaafu akimvisha medali ,mshindi wa kwanza katika mbio za km 21 kwa upande wa wanaume ,Joseph Theofily, |
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia