Ticker

6/recent/ticker-posts

YAHA NDIO YALIOJIRI BUNGENI JANA


 Mbunge wa Nzega, Hamisi Kingwangala akiuliza swali Bungeni mjini Dodoma.

 Wabunge wakitoka Bungeni jana baada ya Bunge kuahirishwa kwa muda.


Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Mchemba akijibu maswali Bungeni yaliyoelekezwa katika wizara hiyo
 Mbunge wa Viti Maalum, Rita Kabati (kulia) akiwa na Mbunge mpya wa kuteuliwa, Dk Grace Puja Bungeni mjini Dodoma
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (kushoto) akitoka Bungeni jana na mbunge mwenzake wa Iringa mjini, Mchungaji Peter Msigwa.

Wabunge wa kutoka kulia, Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali, Ezechiel Wenje na Mbunge wa Ngara, Deogratius Ntukamazima wakimpongeza Mbunge mpya wa kuteuliwa, Innocent Sebba baada ya kula kiapo Bungeni mjini Dodoma

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta jambo na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia Bungeni mjini Dodoma
 Wabunge na Mawaziri mbalimbali wakifuatilia mijada ya Bunge, Bungeni mjini Dodoma jana.

Post a Comment

0 Comments