Lowassa out Top 5. |
|
|
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mgeja. |
|
Mama Zakia Meghji. |
|
|
|
|
|
|
Wagombea
Urais walioingia katika hatua ya tano bora, ni
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Mh. Bernard Membe, Waziri wa Ujenzi,
Dkt. John Magufuli, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro,
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mh. January Makamba
pamoja na Balozi Amina Salum Ali. Majina hayo yanapelekwa kwenye Mkutano
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kujadiliwa na kupatikana matatu
yatakayopelekwa kwenye Mkutano Mkuu na kupatikana moja ambaye ndie
atakuwa Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM.
Wassira out Top 5. |
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia