Ticker

6/recent/ticker-posts

LOWASA AKATWA AYUPO TANO BORA ASEMA AMEKUBALI MATOKEO



Lowassa out Top 5.
Lowassa out Top 5.
Mhe. Chegeni.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mgeja.
Makamba katinga Top 5.
Mama Zakia Meghji.
Nyalandu out Top 5.
Membe katinga Top 5.
Vijana wakipongezana Ngeleja out (L) Makamba in (R) kwenye Top 5.
Mhe. Ngeleja akubali maamuzi ya Kamati kuu akisema asiyekubali kushindwa si mshindani.
Wapambembe..
M-NEC toka wilaya ya Tarime Mhe. Gachuma (wa pili kulia) naye huko mjini Dodoma kuwakilisha akiwa na wajumbe wenzake toka maeneo mbalimbali nchini.
 Wagombea Urais walioingia katika hatua ya tano bora, ni Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Mh. Bernard Membe, Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mh. January Makamba pamoja na Balozi Amina Salum Ali. Majina hayo yanapelekwa kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kujadiliwa na kupatikana matatu yatakayopelekwa kwenye Mkutano Mkuu na kupatikana moja ambaye ndie atakuwa Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM.
 
Wassira out Top 5.
MARA baada ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC-NEC) ilipotoa orodha ya wagombea watano na baadhi ya majina makubwa yaliyokuwa yakitawala kwenye, vyombo vya habari, mitandao na vinywa vya watu wengi kubwagwa, kama vile jina la Mhe. Edward Lowassa, Mhe. Waziri Mkuu Pinda na wengineo hii ndiyo taswira ya mji wa Dodoma hii leo.
 

Post a Comment

0 Comments