HAYA NDIO MATUKIO MBALIMBALI YALIYOTOKEA JIJINI ARUSHA NDANI YA USAILI WA BSS AUDITIONS
hawa ndio majaji wetu wa mwaka huu wa shindano hili la BSS AUDITIONS linaloendelea kufanyika wa kwanza kulia ni Madam Ritha katikati ni masta J akiwa na dada yetu Salama ndani ya ukumbi wa triple A
vijana wengi walijitokeza kwa wingi kuonyesha uwezo wao
arusha bwana ni balaa kwa jina lingine wanapaita r-chuga ni shida













0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia