MAGUFULI ALITIKISA JIJI LA DAR ES SALAAM APOELEWA KWA KISHINDO

Mteule wa Chama cha Mapinduzi 9CCM) katika kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu utakao fanyika Oktoba 25 mwaka huu, Dk John Pombe Magufuli akihutubia katika mkutano wa hadhara wa kumtambulisha kwa wananchi wa Dar es Salaam katika uwanja wa Mbagala Zakhem katika jimbo la Uchaguzi Mbagala, Wilayani Temeke leo.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia