Ticker

6/recent/ticker-posts

MIRADI YA UMEME WA UPEPO SINGIDA WATEMBELEWA NA TUME YA MIPANGA

 Meneja wa Mradi, Mhandisi. Pascal Malesa akiwaonesha timu ya ukaguzi eneo linalokusudiwa kwa ajili ya mradi wa umeme wa upepo nje kidogo ya mji wa Singida, mbele yake ni kiongozi wa timu hiyo Mhandisi. Happiness Mgalula, ambaye ni Naibu Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango
 Meneja wa Mawasiliano wa Kampuni ya Wind East Africa Singida Wind Power Bw. Simon Magesa akionesha jinsi ambavyo kasi ya upepo inavyopimwa katika mnara wa upepo ambao tayari umewekwa na kampuni yake
 Timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo ikiwa chini ya mnara wa kupima kasi ya upepo katika kijiji cha Iroho, Kata ya Kisaki, Singida mjini. Mnara huo una urefu wa mita 60

Post a Comment

0 Comments