DC HAI AKAGUA JENGO LA UPASUAJI LA HOSPITALI YA WILAYA



 Mkuu wa wilaya ya Hai Novatus Makunga akikagua jengo hilo la upasuaji la hospitalini ya wilaya ya Hai na kupata maelezo kutoka kwa watendaji wa hospitali

 Baadhi ya vifaa vilivyopo katika hospitali hiyo

 Sehemu ya jengo hilo ambalo lina vyumba zaidi ya ishirini vikiwemo vya uangalizi maalumu kwa ajili ya mgonjwa,dawa ya uzingizi,ofisi,vyoo,mapokezi na kadhalika
Serikali imekamilisha ujenzi wa jengo la upasuaji cha kisasa zaidi nchini katika hospitali ya wilaya ya Hai ambapo ujenzi pamoja na vifaa na mashine zilizopo umegharimu zaidi ya shilingi bilioni moja.Uzinduzi wa jengo hilo unatarajiwa kufanywa na Rais Jakaya Kikwete atakapokuwa ziarani katika mkoa wa Kilimanjaro

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia