mkurugenzi wa kituo cha karume(KITS) Haji Makame akitoa salamu za kituo hicho kwenye mahafali ya mafunzo ya awali(BRIGING COURCE)yaliyofanyka kwenye chuo cha ufundi Arusha kjituo hicho kimeingia makubaliano ya kubadilishana wanafunzi,walimu na pia kutembeleana katika kukuza taaluma kama alivyoainisha mkurugenzi huyo
Wauza dawa 550 kwenye maduka ya dawa halmashauri za jiji la Arusha na wilaya ya Arusha wakisikiliza hutuba  katika mahafali yao kwenye chuo cha ufundi Arusha ambako ndiko walipatiwa mafunzo na vyeti baada ya kuhitimu mafunzo ya wiki 5 yaliyokuwa yakiendeshwa na mamlaka ya chakula na dawa(TFDA) na mgeni rasmi alikuwa mkuu wa mkoa wa arusha Magessa Mulongo
Mkuu wa mkoa wa Arusha Magessa Mulongo akiwahutubia wauza dawa baridi zaidi ya500 waliohitimu mafunzo ya wiki 5 kwenye chuo cha ufundi Arusha na kuwataka kuafichua wale wote wanaofanya vitendo viovu katika kuhujumu fani yao naye atachukua hatua kali dhidi yao.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia