KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE MAENDELEO YA JAMII LATEMBELEA RADIO 5 ARUSHA

 Wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge maendeleo ya jamii ikiwa katika picha ya pamoja na mkurugenzi wa Radio 5pamoja na  baadhi ya wafanyakazi
 Kamati ya kudumu ya bunge ikiwa inawasili mjengoni
 Mtangazaji wa Radio 5 Deo Nafutal akiwa anawapa maelekezo wajumbe wa kamati hiyo maelezo katika chumba cha kuandalia habari
 Mkurugenzi wa Radio 5 Roberty France akiwa anawapa maelezo wajumbe waliotembelea kituo hicho akiwemo Mbunge wa Kondoa Juma Ngamia pamoja na mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari
 Wajumbe hao pia waliingia katika studio za radio 5 na kukuta vipindi vikiendelea ambapo mtangazaji Semio Sonyo alikuwa akiendelea na kipindi chake Flash back
 Mkurugenzi wa radio 5 akibadilishana mawazo na katibu wa kamati hiyo
 kamati ikiwa imeketi katika maongezi
 Abubakari liongo nae alikuwepo  akijumuika na wabunge hao

 Mbunge wa jimbo la nchinga lindi akiwa anaojiwa katika studio za radio 5

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia