WAFANYAKAZI WA RADIO 5 WAJIACHIA KUANGALIA MECHI


 Meneja wa kituo cha radio 5 ya jijini Arusha Jimmy Mtemi akiwa na mashabiki mbali mbali wakifuatilia mechi ya timu ya fainali kati ya hispania na Italia kwenye club ya La Fiesta iliyopo njiro jijini Arusha mwishoni mwa wiki meneja huyo aliukuwa anashabikia timu ya Italia hapo akifuatilia mechi hiyo wakati hispania inaongoza kwa bao mbili kwa nunge pole Jimmy Mtemi.


 
 mkurugenzi wa kituo cha radio 5 cha jijini Arusha Robert Francis mwenye kipara akiwa na baadhi ya mashabiki wa kipute cha fainali ya uefa kati ya Hispania na Italia kwa Italia kubugizwa kwa bao nne kwa nunge yeye alikuwa anashabikia timu ya Hispania hongera kwa kuchukuwa kombe hiyo ilikuwa katika club ya usiku ya La Fiesta na kuhudhuriwa na mashabiki kibao kama unavyoona pichani.

Baadhi ya wafanyakazi wakituo cha radio 5 cha jijini Arusha wakiwa wamejumuika na mashabiki kwenye onyesho la mechi ya fainali ya kombe la ulaya katika club ya usiku ya La Fieta iliyopo njiro kwenye majengo ya PPF mechi hiyo iliwakutanisha mashabiki wa soka wa jijini hapa na Radio 5 ilitoa kiasi cha tsh.80,000 kwa mtu aliyeweza kutabiri mechi hiyo.

 kila mmoja alikuwa na shauku ya mechi usipime
 Mkurugenzi wa kituo cha radio 5 ambaye alikuwa moja wa mashabiki waliotabiri mechi hiyo alijiyakulia kitita hicho baada ya kusema Hispania itashinda mechi hiyo kwa jumla ya magoli Manne kwa nunge na kujinyakulia fedha hizo

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia