MATUKIO MBALIMBALI YA KITAAA

 Muendesha pikipiki huyo bila kufuata sheria za barabarani hapa akiwa amewapakiza wanafunzi watatu kama alivyokutwa na kamera yetu kwenye Barabara ya Sokoine jijini Arusha
 Hisiyo kibanda ni shell hapa powertielr likiweka mafuta kwenye shelli hiyo mjini magugu serekali imetakiwa kuangalia kabla madhara hayajatokea kwani inahatarisha usalama wa wananchi waliopembeni na shell bubu hiyo(picha zote na Mahmoud Ahmad Arusha na Babati Vijijini)
 kipindi hiki kwenye mji wa Magugu ni kipindi cha mavuno hawa kwenye picha wakipeleka Mpunga Mashineni kama walivyokutwa na kamera yetu mjini Magugu.
Hili ni soko la Ngarenaro Mjini magugu wachuzi na wanunuzi kama wanavyoonekana pichani wakiendelea na biashara na wengine wakinunua bidhaa kwa mahitaji ya nyumbani wananchi wameitaka Halmashauri kuliendeleza soko hilo liwe la kisasa picha kama ilivyokutwa la kamera yetu Magugu Wilayani Babati Vijijini

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia