MFANYA BIASHARA WA NGOZI SALUM ALLY APOKELEWA KAMA MFALME JIJINI ARUSHA




 Salim Ally akiwa na wajukuu zake wakifurahia mara baada ya babu yao kurejea kutoka jijini dar sehemu ambayo alikuwa amefungwa kwa kipindi cha miezi kumi
 Salimu ally akiwa anakumbatiana na baadhi ya ndugu waliomtembelea nyumbani kwake mara baada ya kuwasili kutoka dar
watoto wa salim Ally wakiwa wanapongezana mara baada ya baba yao kuwasili mkoani arusha

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post