UZINDUZI WA CATHERINE FOUNDATION JIJINI ARUSHA


DSC09645
Pichani ni mbunge wa viti maalum vijana(CCM) Catherine Magige akiwa na baadhi ya vijana wakibadilishana mawazo kabla ya uzinduzi ulioenda sambamba na sherehe ya uzinduzi wa Catherine Foundation kwenye viwanja vya ofisi ya mkuu wa wilaya ya Arusha leo Asubuhi pamoja na kutoa msaada wa baskeli kwa walemavu wa wilaya ya Arusha.
DSC09650
DSC09654
Mgeni rasmi ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela Kisalimiana na wageni mbali mbali wakati alipowasili kwenye uzinguzi wa Catherine Foundation leo Asubuhi jijini Arusha
DSC09669
Mbunge wa viti maalum  Catherine Maggige akisomama taarifa ya Foundation yake ilivyoanza kazi mbele ya mgeni rasmi mkuu wa wilaya na wananchi waliohudhuria uzinduzi wa Catherine Foundation kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ya Arusha leo Asubuhi
DSC09656
DSC09687DSC09688
Hapa wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya walemavu kupatiwa zawadi ya baskeli
Hapa wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya walemavu kupatiwa zawadi ya baskeli
Mkuu wa Wilaya ya Arusha akiongea na vyombo vy habari kulia ni david Rwenyagila wa Redio 5
Mkuu wa Wilaya ya Arusha akiongea na vyombo vy habari kulia ni david Rwenyagila wa Redio 5

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post