CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO MKOANI ARUSHA TASWA CHAPATA VIONGOZI

 waandishi wa habari wakiwa makini kusikiliza semina ya ukimwi iliyokuwa ikifundishwa na mkufunzi kutoka TUPO
 Mbunge wa viti maalumu Catherini Magige akiwa anamkabidhi katibu wa chama cha waandishi wa habari wa michezo mkoani Arusha Mussa Juma dola za kimarekani 200 kwa ajili ya soda za waandishi waliouthuria katika mkutano huo
 Mbunge wa viti maalumu Catherin Magige akiwa anatoka katika kikao cha waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano mkuu wa chama cha waandishi wa habari wa michezo TASWA
Waandishi wa habari wa mkoa wa Arusha wakiwa wanasikiliza kwa makini semina ya ukimwi iliondaliwa iliokuwa ikifanyika jijini hapa

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia