HIVI NDIVYO BUNGE FC ILIVYOIFUNGA SUNRISE MABAO 3-0

 wachezaji wa timu ya bunge FC waliovaa orange wakiwa wanacheza mechi ya kirafiki na timu ya Sunrise Radio waliovaa blue mechi ambao Bunge FC ilishinda mabao 3-0
 Wananachi kibao walijotokeza kushuhudia mechi hiyo iliyokuwa ikichezwa katika kiwanja cha sheikh amri abeid jijini hapa

 waamuzi wakiwa wanatoka uwanjani mara baada ya mechi kuisha
 mbunge wa korongwe ajulikanaye kama maji mh.majimarefu aliyevaa orange akiongea na mtangazaji wa radio sunrise ya jijini hapa mara baada ya mechi kumalizika na kufunga magoli 3-0

Mbunge wa kinondoni idi azzani katikati akiwa na mkurugenzi wa radio Sunrise kushoto na kulia ni mkurugenzi msadizi ambaye pia ni mtangazaji  maarufu wa radio sunrise wakati mungine anajiita goli kipa asiyefungika na akifungika ni hujuma za waamuzi Dionis sikutegemea moyo

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia