WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA NA JIRANI NA JIJI USIJIULIZE LEO WAPI PA KWENDA WAZEE WA GWASUMA LEO WAPO A-TOWN KWA AJILI YA KUWAPA BURUDANI

Bendi maarufu hapa nchini ya FM Academia wazee wa gwasuma leo watakuwepo  ndani ya jiji la Arusha na watatoa burudani kwa wakazi wa mkoa huu  katika ukumbi wa blue flame ulioko triple A mkoni Arusha

Mpaka sasa bendi hii imeshawasili na maandalizi yote yamekamilika kiingilio katika onyesho hilo  nishilingi 10000 tu wengine wanaita wekundu mmoja tu wote mnakaribishwa timu nzima ya fm academia itakuwepo kuwatambulisha staili mbalimbali za bendi hiyo

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia