Bendi maarufu hapa nchini ya FM Academia wazee wa gwasuma leo watakuwepo ndani ya jiji la Arusha na watatoa burudani kwa wakazi wa mkoa huu katika ukumbi wa blue flame ulioko triple A mkoni Arusha
Mpaka sasa bendi hii imeshawasili na maandalizi yote yamekamilika kiingilio katika onyesho hilo nishilingi 10000 tu wengine wanaita wekundu mmoja tu wote mnakaribishwa timu nzima ya fm academia itakuwepo kuwatambulisha staili mbalimbali za bendi hiyo
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia